VIDEO: Aliyekimbia kituo cha uangalizi maambukizi ya corona Dar akamatwa Iringa
newsare.net
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata mtu mmoja kwa madai ya kutoroka katika karantini jijini Dar es Salaam siku tatu tangu awasili Tanzania akitokea nchini Norway.VIDEO: Aliyekimbia kituo cha uangalizi maambukizi ya corona Dar akamatwa Iringa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata mtu mmoja kwa madai ya kutoroka katika karantini jijini Dar es Salaam siku tatu tangu awasili Tanzania akitokea nchini Norway. Read more














