Latra yataka wenye mabasi kuomba leseni kuokoa adha ya usafiri Dar
newsare.net
Mamlala ya Usafiri wa Ardhini (Latra) imewaalika watu binafsi au taasisi zenye mabasi ambayo hayajapangiwa njia, kuomba leseni za muda mfupi ili kutoa huduma za usafiri maeneo ya mijini.Latra yataka wenye mabasi kuomba leseni kuokoa adha ya usafiri Dar
Mamlala ya Usafiri wa Ardhini (Latra) imewaalika watu binafsi au taasisi zenye mabasi ambayo hayajapangiwa njia, kuomba leseni za muda mfupi ili kutoa huduma za usafiri maeneo ya mijini. Read more














