Profesa Tibaijuka aaga bungeni akiwa na uchungu wa sakata la Escrow
newsare.net
Mbunge wa Muleba Kusini Nchini Tanzania (CCM) Profesa Anne Tibaijuka ameliaga Bunge rasmi kuwa hatagombea tena ubunge na kukabidhi serikalini hoja yake binafsi aliyoipigania kuingia bungeni kwa miaka 10 bila mafanikio.Profesa Tibaijuka aaga bungeni akiwa na uchungu wa sakata la Escrow
Mbunge wa Muleba Kusini Nchini Tanzania (CCM) Profesa Anne Tibaijuka ameliaga Bunge rasmi kuwa hatagombea tena ubunge na kukabidhi serikalini hoja yake binafsi aliyoipigania kuingia bungeni kwa miaka 10 bila mafanikio. Read more














