NO AGENDA: Kupambana na Masanja ni kupoteza shabaha vita ya corona
newsare.net
MITANDAONI mastaa Bongo kama nchi ipo tofauti na dunia. Wakati Shirika la Miradi ya Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), linaomba nchi za G20 kutoa dola 2.5 trilioni (Sh5,700 trilioni), kusaidia theluthi mbili ya dunia ambayo ni nchi zinazoendelea, wanaoombeNO AGENDA: Kupambana na Masanja ni kupoteza shabaha vita ya corona
MITANDAONI mastaa Bongo kama nchi ipo tofauti na dunia. Wakati Shirika la Miradi ya Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), linaomba nchi za G20 kutoa dola 2.5 trilioni (Sh5,700 trilioni), kusaidia theluthi mbili ya dunia ambayo ni nchi zinazoendelea, wanaoombewa msaada ni kama hakuna kitu. Read more