Watu 13 wakamatwa kwa kukwepa karantini
newsare.net
Serikali mkoani Mbeya imewakamata raia 13 walioingia nchini kupitia mipaka ya nchi jirani kutaka kukwepa kuhifadhiwa kwenye karantini kwa siku 14 kwa ajili ya kupimwa afya zao kama wanaweza kuwa na viashiria vya maambukizi ya virusi vya corona.Watu 13 wakamatwa kwa kukwepa karantini
Serikali mkoani Mbeya imewakamata raia 13 walioingia nchini kupitia mipaka ya nchi jirani kutaka kukwepa kuhifadhiwa kwenye karantini kwa siku 14 kwa ajili ya kupimwa afya zao kama wanaweza kuwa na viashiria vya maambukizi ya virusi vya corona. Read more