Mama mzazi wa Guardiola afariki kwa corona
newsare.net
MAMA mzazi wa kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, Dolors Sala Carrio, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 huko Barcelona baada ya kupata maambuzi ya virusi vya corona.Mama mzazi wa Guardiola afariki kwa corona
MAMA mzazi wa kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, Dolors Sala Carrio, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 huko Barcelona baada ya kupata maambuzi ya virusi vya corona. Read more