CAG abaini watumishi hewa
newsare.net
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2018/19 imebaini ‘madudu’ katika halmashauri mbalimbali nchini zikiwamo Sh167.43 milioni kutumika kulipa watumishi hewa.CAG abaini watumishi hewa
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2018/19 imebaini ‘madudu’ katika halmashauri mbalimbali nchini zikiwamo Sh167.43 milioni kutumika kulipa watumishi hewa. Read more














