VIDEO: Mkurugenzi wa JamiiForums ahukumiwa kulipa faini ya Sh3 milioni
newsare.net
Mahakaka ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo(40) kulipa faini ya Sh3 milioni au kwenda jela mwaka mmoja, baada ya kutiwa hatiani katika shtaka moja la kuzuia jeshi la polisi kufanya uchunguzi.VIDEO: Mkurugenzi wa JamiiForums ahukumiwa kulipa faini ya Sh3 milioni
Mahakaka ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo(40) kulipa faini ya Sh3 milioni au kwenda jela mwaka mmoja, baada ya kutiwa hatiani katika shtaka moja la kuzuia jeshi la polisi kufanya uchunguzi. Read more














