CT-Scan Muhimbili yaharibika, wagonjwa wapelekwa Moi na Mloganzila
newsare.net
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema mashine yake ya CT Scan haifanyi kazi na wagonjwa wa dharura wanaohitaji huduma hiyo wanapelekwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi) na hospitali ya Mloganzila.CT-Scan Muhimbili yaharibika, wagonjwa wapelekwa Moi na Mloganzila
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema mashine yake ya CT Scan haifanyi kazi na wagonjwa wa dharura wanaohitaji huduma hiyo wanapelekwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi) na hospitali ya Mloganzila. Read more














