Walioambukizwa corona Tanzania wafikia 25
newsare.net
Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema walioambukizwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona nchini wamefikia 25 baada ya mgonjwa mwingine mmoja kuongezeka leo Jumatano Aprili 8, 2020.Walioambukizwa corona Tanzania wafikia 25
Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema walioambukizwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona nchini wamefikia 25 baada ya mgonjwa mwingine mmoja kuongezeka leo Jumatano Aprili 8, 2020. Read more














