Watumia likizo ya corona kukeketa mabinti, mume na mke mbaroni
newsare.net
Polisi Wilayani Serengeti Mkoani Mara Tanzania, inawashikilia mume na mke kwa tuhuma za kumkeketa binti yao wa miaka 14 kinyume cha sheria.Watumia likizo ya corona kukeketa mabinti, mume na mke mbaroni
Polisi Wilayani Serengeti Mkoani Mara Tanzania, inawashikilia mume na mke kwa tuhuma za kumkeketa binti yao wa miaka 14 kinyume cha sheria. Read more














