Kwa hili la umri Simba wamepiga bao
newsare.net
MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.” Hayo ni maneno ya kawaida kwa watani hao wa jadi na hakuna upaKwa hili la umri Simba wamepiga bao
MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.” Hayo ni maneno ya kawaida kwa watani hao wa jadi na hakuna upande ambao unaweza kukubali kushindwa kirahisi vita hiyo ya maneno. Read more














