Profesa aomba kura akatatue changamoto za walima korosho
newsare.net
Mgombea Urais CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi wananchi wa Tunduru kumaliza changamoto zinazowakabili wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na masoko pamoja na bei endapo watamchagua kuwa Rais wao.Profesa aomba kura akatatue changamoto za walima korosho
Mgombea Urais CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi wananchi wa Tunduru kumaliza changamoto zinazowakabili wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na masoko pamoja na bei endapo watamchagua kuwa Rais wao. Read more














