Mgombea Chadema kubana wawekezaji wachangie maendeleo
newsare.net
Rungwe. Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Rungwe, Sophia Mwakagenda amesema akipata ridhaa atahakikisha inakuwepo sheria ya kuwabana wawekezaji wasiochangia miradi ya maendeleo ya wananchi.Mgombea Chadema kubana wawekezaji wachangie maendeleo
Rungwe. Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Rungwe, Sophia Mwakagenda amesema akipata ridhaa atahakikisha inakuwepo sheria ya kuwabana wawekezaji wasiochangia miradi ya maendeleo ya wananchi. Read more














