Mastaa Msimbazi wabadili gia
newsare.net
Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ratiba kamili itatangazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo lakini mechi za mtoano za ligi hiyo zitaanza Novemba 27-29, huku marudiano yakiwa Desemba 4-6. Raundi ya kwanza inaanza Desemba 22-23 na marudiano JMastaa Msimbazi wabadili gia
Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ratiba kamili itatangazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo lakini mechi za mtoano za ligi hiyo zitaanza Novemba 27-29, huku marudiano yakiwa Desemba 4-6. Raundi ya kwanza inaanza Desemba 22-23 na marudiano Januari 5-6, mwakani. Hatua ya makundi itaanza Februari 13-14 na robo fainali itapigwa Mei. Read more














