Wanafunzi wanne wafariki kwa kugongwa na gari
newsare.net
Wanafunzi wanne wa shule ya msingi Ibambila wilayani Nyang'wale, Geita wamepoteza maisha baada ya kugongwa na gari wakati wakivuka barabara wakielekea shuleni.Wanafunzi wanne wafariki kwa kugongwa na gari
Wanafunzi wanne wa shule ya msingi Ibambila wilayani Nyang'wale, Geita wamepoteza maisha baada ya kugongwa na gari wakati wakivuka barabara wakielekea shuleni. Read more














