VIDEO: Bunge lamuidhinisha Majaliwa kuwa Waziri Mkuu
newsare.net
Bunge la Tanzania limemthibitisha mbunge wa Ruangwa (CCM), Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo baada ya kupigwa kura 350 za ndiyo. Katika upigaji wa kura hizo hakuna iliyoharibikaVIDEO: Bunge lamuidhinisha Majaliwa kuwa Waziri Mkuu
Bunge la Tanzania limemthibitisha mbunge wa Ruangwa (CCM), Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo baada ya kupigwa kura 350 za ndiyo. Katika upigaji wa kura hizo hakuna iliyoharibika Read more