RC Chalamila ashtukia bei ya saruji kupanda, atoa maagizo
newsare.net
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mbeya imeagizwa kuanza kukagua risiti za manunuzi ya saruji kwa mawakala wa kiwanda cha saruji Mbeya katika kipindi cha wiki mbili zilizopita ili kubaini chanzo cha mfumuko wa bei ya bidhaa hiyo.RC Chalamila ashtukia bei ya saruji kupanda, atoa maagizo
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mbeya imeagizwa kuanza kukagua risiti za manunuzi ya saruji kwa mawakala wa kiwanda cha saruji Mbeya katika kipindi cha wiki mbili zilizopita ili kubaini chanzo cha mfumuko wa bei ya bidhaa hiyo. Read more