Makombora ya Tigray yatua Eritrea, viwanja vya ndege
newsare.net
Makombora kutoka Jimbo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia yanadaiwa kutua katika nchi jirani ya Eritrea, wanadiplomasia wamesema, hali inayoashiria kuwa mgogoro huo sasa unavuka mipaka ya nchi.Makombora ya Tigray yatua Eritrea, viwanja vya ndege
Makombora kutoka Jimbo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia yanadaiwa kutua katika nchi jirani ya Eritrea, wanadiplomasia wamesema, hali inayoashiria kuwa mgogoro huo sasa unavuka mipaka ya nchi. Read more