Tanzania



Aliyegombea udiwani na wenzake 7 wasomewa shitaka la uhujumu uchumi

Watu nane akiwamo aliyekuwa mgombea wa udiwani kata ya Berege kupitia Chadema Deogratius Mahinyila,  wamefikishwa mahakamani wilayani Mpwapwa wakikabiliwa na kosa la kuisababishia Serikali  hasara ya Sh29.1 milioni.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Aliyegombea udiwani na wenzake 7 wasomewa shitaka la uhujumu uchumi

Watu nane akiwamo aliyekuwa mgombea wa udiwani kata ya Berege kupitia Chadema Deogratius Mahinyila,  wamefikishwa mahakamani wilayani Mpwapwa wakikabiliwa na kosa la kuisababishia Serikali  hasara ya Sh29.1 milioni.

Tembo amkanyaga mwalimu, amsababishia kifo

Mwalimu wa kujitolea katika shule ya Sekondari Kwangu iliyopo Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro,  Rojas willison, amefariki dunia baada kushambuliwa na tembo, wakati akitoka kutafuta mahitaji yake muhimu.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Tembo amkanyaga mwalimu, amsababishia kifo

Mwalimu wa kujitolea katika shule ya Sekondari Kwangu iliyopo Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro,  Rojas willison, amefariki dunia baada kushambuliwa na tembo, wakati akitoka kutafuta mahitaji yake muhimu.

Kenyan lawyer surrenders to ICC

Kenyan lawyer Paul Gicheru on Monday surrendered to the International Criminal Court (ICC) following a 2015 warrant of arrest for crimes of corruptly influencing witnesses in the Hague-based court.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Kenyan lawyer surrenders to ICC

Kenyan lawyer Paul Gicheru on Monday surrendered to the International Criminal Court (ICC) following a 2015 warrant of arrest for crimes of corruptly influencing witnesses in the Hague-based court.

US envoy voices concern over detention of opposition leaders

The US Ambassador to Tanzania, Donald J. Wright has taken to his Twitter account seeking among other things, the release detained opposition leaders.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

US envoy voices concern over detention of opposition leaders

The US Ambassador to Tanzania, Donald J. Wright has taken to his Twitter account seeking among other things, the release detained opposition leaders.

US election 101: How the Electoral College works

Americans go to the polls next Tuesday in an election that could send Democrat Joe Biden to the White House or keep Donald Trump on for four more drama-filled years.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

US election 101: How the Electoral College works

Americans go to the polls next Tuesday in an election that could send Democrat Joe Biden to the White House or keep Donald Trump on for four more drama-filled years.

VIDEO: Hivi ndivyo Dk Shein alivyoagwa kijeshi Zanzibar

Viongozi mbalimbali wa kitaifa wamehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ambaye amechaguliwa na wananchi wa Zanzibar katika uchaguzi wa Oktoba 27 na 28.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Hivi ndivyo Dk Shein alivyoagwa kijeshi Zanzibar

Viongozi mbalimbali wa kitaifa wamehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ambaye amechaguliwa na wananchi wa Zanzibar katika uchaguzi wa Oktoba 27 na 28.

Wanafunzi wanne wafariki kwa kugongwa na gari

Wanafunzi wanne wa shule ya msingi Ibambila wilayani Nyang'wale, Geita  wamepoteza maisha baada ya kugongwa na gari wakati wakivuka barabara wakielekea  shuleni.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wanafunzi wanne wafariki kwa kugongwa na gari

Wanafunzi wanne wa shule ya msingi Ibambila wilayani Nyang'wale, Geita  wamepoteza maisha baada ya kugongwa na gari wakati wakivuka barabara wakielekea  shuleni.

VIDEO: Hii ndio sura ya Serikali atakayoiunda Dr Mwinyi

Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi ameahidi kuunda serikali makini itakayozingatia nidhamu na maadili ya viongozi na watumishi, utendaji kazi wenye viwango bora na kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kuimarisha huduma za jamii.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Hii ndio sura ya Serikali atakayoiunda Dr Mwinyi

Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi ameahidi kuunda serikali makini itakayozingatia nidhamu na maadili ya viongozi na watumishi, utendaji kazi wenye viwango bora na kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kuimarisha huduma za jamii.

CUF kutoshiriki uchaguzi wowote hadi itakapoundwa tume huru

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuanzia sasa chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote hapa nchini, hadi  itakapopatikana tume huru ya uchaguzi itakayosimamia mchakato huo.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

CUF kutoshiriki uchaguzi wowote hadi itakapoundwa tume huru

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuanzia sasa chama hicho hakitashiriki uchaguzi wowote hapa nchini, hadi  itakapopatikana tume huru ya uchaguzi itakayosimamia mchakato huo.

Mambosasa: Waliopanga kuandamana hawakutoa taarifa polisi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema viongozi wa Chadema  wamekamatwa kwa kuwa wamepanga kuongoza maandamano bila kutoa taarifa yoyote polisi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mambosasa: Waliopanga kuandamana hawakutoa taarifa polisi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema viongozi wa Chadema  wamekamatwa kwa kuwa wamepanga kuongoza maandamano bila kutoa taarifa yoyote polisi.

VIDEO: RPC Dodoma aahidi kipigo kwa watakaoandamana

Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amewasihi watu wanaotaka kuandamana waache kwa kuwa polisi wamejipanga kuwapa kipigo alichokiita cha mbwa koko.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: RPC Dodoma aahidi kipigo kwa watakaoandamana

Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amewasihi watu wanaotaka kuandamana waache kwa kuwa polisi wamejipanga kuwapa kipigo alichokiita cha mbwa koko.

Trump will lose the November 3 US election in a big way; here’s why

Get your popcorn and find a TV couch. That’s because on November 3, 2020, the sorriest – and saddest – chapter in recent American history will be put to an end. President Donald J. Trump, an evil and dangerous man who shocked the world by capturing the
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Trump will lose the November 3 US election in a big way; here’s why

Get your popcorn and find a TV couch. That’s because on November 3, 2020, the sorriest – and saddest – chapter in recent American history will be put to an end. President Donald J. Trump, an evil and dangerous man who shocked the world by capturing the White House in 2016, will be sent home to New York, or to Mar-a-Lago, his gaudy resort in Palm Beach, Florida.

Fighting crimes against journalist thing

Today, November 2, is International Day to End Impunity for Crimes against Journalists, an annual commemoration proclaimed by the United Nations General Assembly in December 2013. This was after the UN was strongly lobbied by the International Freedom of Expr
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Fighting crimes against journalist thing

Today, November 2, is International Day to End Impunity for Crimes against Journalists, an annual commemoration proclaimed by the United Nations General Assembly in December 2013. This was after the UN was strongly lobbied by the International Freedom of Expression Exchange (IFEX), a global network of civil society organisations that defend and promote the right to freedom of expression.

Chadema’s Mbowe and Lema arrested for planned demos

Several opposition leaders and officials are reportedly under arrest as police moved to forestall planned demonstrations called to protest the outcome of Tanzania’s General Election held on October 28, and which gave the ruling party an overwhelming victory
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Chadema’s Mbowe and Lema arrested for planned demos

Several opposition leaders and officials are reportedly under arrest as police moved to forestall planned demonstrations called to protest the outcome of Tanzania’s General Election held on October 28, and which gave the ruling party an overwhelming victory.

Mbowe, Lema wakamatwa Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia viongozi watatu wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe  kwa madai ya kuwashawishi vijana kuandamana.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mbowe, Lema wakamatwa Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia viongozi watatu wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe  kwa madai ya kuwashawishi vijana kuandamana.

Election 2020: Nearly half of 29 million registered voters stayed away

An analysis of data released by the National Electoral Commission (NEC) in relation to the October 28, 2020 elections shows that nearly half of registered voters stayed away from the polls.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Election 2020: Nearly half of 29 million registered voters stayed away

An analysis of data released by the National Electoral Commission (NEC) in relation to the October 28, 2020 elections shows that nearly half of registered voters stayed away from the polls.

Final push to eliminate leprosy in Tanzania needs impetus

Tanzania has recorded a significant decline in cases of leprosy in recent years, however, the country’s final push for elimination of leprosy requires innovation, community involvement and key collaborators in legal and social sectors, said an expert coordi
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Final push to eliminate leprosy in Tanzania needs impetus

Tanzania has recorded a significant decline in cases of leprosy in recent years, however, the country’s final push for elimination of leprosy requires innovation, community involvement and key collaborators in legal and social sectors, said an expert coordinating national efforts to eliminate the bacterial disease.

Wasanii waliogeukia biashara ikawatoa

KUMEKUWEPO na madongo mengi kwa wasanii ambao wamekuwa wakitegemea muziki katika kuendesha maisha yao ya kila siku na inapofika wamechuja kwenye soko hali zao huwa taabani.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wasanii waliogeukia biashara ikawatoa

KUMEKUWEPO na madongo mengi kwa wasanii ambao wamekuwa wakitegemea muziki katika kuendesha maisha yao ya kila siku na inapofika wamechuja kwenye soko hali zao huwa taabani.

Polisi mkoani Mbeya yawashikilia makada 20 wa Chadema

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya  linawashikilia wanachama zaidi ya 20 wa Chadema wanaodaiwa kufanya vurugu, ikiwa ni pamoja na kuchoma moto vibanda.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Polisi mkoani Mbeya yawashikilia makada 20 wa Chadema

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya  linawashikilia wanachama zaidi ya 20 wa Chadema wanaodaiwa kufanya vurugu, ikiwa ni pamoja na kuchoma moto vibanda.

Viongozi 20 wa Chadema wakamatwa wakidaiwa kupanga maandamano

Viongozi 20 wa Chadema  Mkoa wa Singida wamekamatwa na polisi leo Jumapili Novemba mosi, 2020 kwa madai ya kupanga kufanya maandamano.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Viongozi 20 wa Chadema wakamatwa wakidaiwa kupanga maandamano

Viongozi 20 wa Chadema  Mkoa wa Singida wamekamatwa na polisi leo Jumapili Novemba mosi, 2020 kwa madai ya kupanga kufanya maandamano.

Magufuli: Hiki ni kipindi changu cha mwisho

Rais John Magufuli ameipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kufanikisha uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020  na kubainisha kuwa baada ya kuibuka na ushindi ataliongoza Taifa la Tanzania kwa miaka mingine mitano  na ndio itakuwa ya mwisho.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli: Hiki ni kipindi changu cha mwisho

Rais John Magufuli ameipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kufanikisha uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020  na kubainisha kuwa baada ya kuibuka na ushindi ataliongoza Taifa la Tanzania kwa miaka mingine mitano  na ndio itakuwa ya mwisho.

Kama wimbo hauna vigezo hivi, Basata wanakuhusu

Baraza la sanaa Taifa (BASATA) limekuwa maarufu sana miaka ya hivi karibuni. Huku licha ya kwamba lina majukumu mengi ikiwemo kutoa ithibati kwa kazi za wasanii, kuwatafutia wasanii fursa za kibiashara na masoko; lakini kwa kiasi kikubwa umaarufu wa baraza hi
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kama wimbo hauna vigezo hivi, Basata wanakuhusu

Baraza la sanaa Taifa (BASATA) limekuwa maarufu sana miaka ya hivi karibuni. Huku licha ya kwamba lina majukumu mengi ikiwemo kutoa ithibati kwa kazi za wasanii, kuwatafutia wasanii fursa za kibiashara na masoko; lakini kwa kiasi kikubwa umaarufu wa baraza hilo unatokana na matukio ya kufungia nyimbo.

Sababu watu milioni 14 kutojitokeza kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

Kutoaminika kwa mifumo ya kusimamia uchaguzi nchini, kumeelezwa kuwa sababu ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kupiga kura, baada ya watu takriban milioni 14 kukosa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Sababu watu milioni 14 kutojitokeza kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

Kutoaminika kwa mifumo ya kusimamia uchaguzi nchini, kumeelezwa kuwa sababu ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kupiga kura, baada ya watu takriban milioni 14 kukosa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28.

Mmoja auawa, wafuasi wa Chadema, ACT wakamatwa

Wanachama zaidi ya 100 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT-Wazalendo wanashikiliwa na polisi wakihusishwa na matukio mbalimbali hasa vurugu katika Uchaguzi Mkuu huku mmoja akiuawa mkoani Mara.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mmoja auawa, wafuasi wa Chadema, ACT wakamatwa

Wanachama zaidi ya 100 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT-Wazalendo wanashikiliwa na polisi wakihusishwa na matukio mbalimbali hasa vurugu katika Uchaguzi Mkuu huku mmoja akiuawa mkoani Mara.

Watu 27 wapoteza maisha Uturuki kwa tetemeko la ardhi

Tetemeko la ardhi lililopiga pwani ya mji wa Aegean nchini Uturuki na Kaskazini mwa kisiwa cha Ugiriki cha Samos Ijumaa iliyopita, limeua takriban watu 27 na kujeruhi wengine 800.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Watu 27 wapoteza maisha Uturuki kwa tetemeko la ardhi

Tetemeko la ardhi lililopiga pwani ya mji wa Aegean nchini Uturuki na Kaskazini mwa kisiwa cha Ugiriki cha Samos Ijumaa iliyopita, limeua takriban watu 27 na kujeruhi wengine 800.

Kampeni za urais Marekani zapamba moto dakika za mwisho

Rais wa Marekani, Donald Trump na mshindani wake, Joe Biden wapo katika hatua za mwisho za kampeni zao za uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika Novemba 3.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kampeni za urais Marekani zapamba moto dakika za mwisho

Rais wa Marekani, Donald Trump na mshindani wake, Joe Biden wapo katika hatua za mwisho za kampeni zao za uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika Novemba 3.

Get more results via ClueGoal