Tanzania



Partey amnyanyua kwapa Arteta

Kiwango cha Partey kilionekana kuwa cha kawaida tu kwenye usiku huo wa Arsenal huko Austria, huku mabao ya David Luiz na Pierre-Emerick Aubameyang yakiwabeba na kushinda 2-1 baada ya kipa Bernd Leno makosa yake kuwazawaidia bao la kuongoza wenyewe kwenye kipi
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Partey amnyanyua kwapa Arteta

Kiwango cha Partey kilionekana kuwa cha kawaida tu kwenye usiku huo wa Arsenal huko Austria, huku mabao ya David Luiz na Pierre-Emerick Aubameyang yakiwabeba na kushinda 2-1 baada ya kipa Bernd Leno makosa yake kuwazawaidia bao la kuongoza wenyewe kwenye kipindi cha pili.

Maalim Seif ampeleka Dk Mwinyi ZEC

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama hicho kimewasilisha barua kwa kamati ya maadili ya uchaguzi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar ( ZEC) kikitaka mgombea wa CCM Dk Hussein Mwinyi achukuliwe hat
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Maalim Seif ampeleka Dk Mwinyi ZEC

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama hicho kimewasilisha barua kwa kamati ya maadili ya uchaguzi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar ( ZEC) kikitaka mgombea wa CCM Dk Hussein Mwinyi achukuliwe hatua kwa kiuka maadili ya uchaguzi.

Magufuli amtumia Slaa kuikomboa Karatu

Jimbo la Karatu ndilo lililomuibua Dk Slaa, ambaye alipata umaarufu nchini kutokana na kupinga ufisadi na kuuanika, ikiwemo kutangaza orodha ya mafisadi, maarufu kama List of Shame.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli amtumia Slaa kuikomboa Karatu

Jimbo la Karatu ndilo lililomuibua Dk Slaa, ambaye alipata umaarufu nchini kutokana na kupinga ufisadi na kuuanika, ikiwemo kutangaza orodha ya mafisadi, maarufu kama List of Shame.

Lissu alia rafu, NEC wamjibu

Malalamiko hayo ya Lissu yamekuja wakati tayari Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe wakitoa madai ya kuongezwa kwa wapiga kura na vituo hewa vya kupigia kura.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lissu alia rafu, NEC wamjibu

Malalamiko hayo ya Lissu yamekuja wakati tayari Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe wakitoa madai ya kuongezwa kwa wapiga kura na vituo hewa vya kupigia kura.

Worry as key Zanzibar opposition politician goes missing

Opposition party ACT-Wazalendo has on Sunday said that its Deputy Secretary General (Zanzibar), Mr Nassor Ahmed Mazrui has gone missing in circumstances that remain a subject of  investigation.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Worry as key Zanzibar opposition politician goes missing

Opposition party ACT-Wazalendo has on Sunday said that its Deputy Secretary General (Zanzibar), Mr Nassor Ahmed Mazrui has gone missing in circumstances that remain a subject of  investigation.

Opposition party wins Seychelles presidential elections

Wavel Ramkalawan has won the presidential election in the Seychelles, the electoral commission announced Sunday, the first opposition victory since the archipelago's independence from Britain 40 years ago.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Opposition party wins Seychelles presidential elections

Wavel Ramkalawan has won the presidential election in the Seychelles, the electoral commission announced Sunday, the first opposition victory since the archipelago's independence from Britain 40 years ago.

Ombi la walemavu wasioona lazaa matunda NEC

Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, wasioona mkoani Tabora, waliweka azimio kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), iandae utaratibu utakaowawezesha kupiga kura bila msaada wa mtu mwingine kwa kutumia alama zao.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ombi la walemavu wasioona lazaa matunda NEC

Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, wasioona mkoani Tabora, waliweka azimio kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), iandae utaratibu utakaowawezesha kupiga kura bila msaada wa mtu mwingine kwa kutumia alama zao.

Uchaguzi unakuja na hofu Ivory Coast

Idadi ya watu kati ya 3,000 waliopoteza maisha katika mapigano, wanatokeo eneo hilo, ambalo roho ya Ivory Coast katika uzalishaji wa cocoa na ni chanzo cha machafuko ya kikabila.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Uchaguzi unakuja na hofu Ivory Coast

Idadi ya watu kati ya 3,000 waliopoteza maisha katika mapigano, wanatokeo eneo hilo, ambalo roho ya Ivory Coast katika uzalishaji wa cocoa na ni chanzo cha machafuko ya kikabila.

Thirteen killed in bus accident in Ngara

Thirteen people have been killed and 11 others critically injured after an Emirates passenger bus traveling from Ngara to Bukoba overturned in Kumuyange  in Kagera Region.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Thirteen killed in bus accident in Ngara

Thirteen people have been killed and 11 others critically injured after an Emirates passenger bus traveling from Ngara to Bukoba overturned in Kumuyange  in Kagera Region.

Real Madrid ease pressure on Zidane with rousing victory over Barca

Real Madrid averted a crisis in the best possible way on Saturday by beating Barcelona 3-1 in the first empty Clasico, landing an early blow in La Liga's title race.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Real Madrid ease pressure on Zidane with rousing victory over Barca

Real Madrid averted a crisis in the best possible way on Saturday by beating Barcelona 3-1 in the first empty Clasico, landing an early blow in La Liga's title race.

Zidade ashusha presha Barca ikilala nyumbani

Real Madrid leo imekwepesha mzozo kwa njia bora baada ya kuinyuka Barcelona ugenini kwa mabao 3-1 katika mechi ya kwanza baina ya vigogo hao kufanyika bila ya mashabiki.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Zidade ashusha presha Barca ikilala nyumbani

Real Madrid leo imekwepesha mzozo kwa njia bora baada ya kuinyuka Barcelona ugenini kwa mabao 3-1 katika mechi ya kwanza baina ya vigogo hao kufanyika bila ya mashabiki.

Waandamana London kuunga mkono Maandamano Nigeria

Karibu watu 500 leo Jumamosi wameandamana katika mitaa ya London kuunga mkono maandamano ya vijana nchini Nigeria ambayo yamesababisha taifa zima kuwa katika wasiwasi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Waandamana London kuunga mkono Maandamano Nigeria

Karibu watu 500 leo Jumamosi wameandamana katika mitaa ya London kuunga mkono maandamano ya vijana nchini Nigeria ambayo yamesababisha taifa zima kuwa katika wasiwasi.

Mwanamke aliwa na mamba

Rulensi Igayo (28) mkazi wa kijiji cha Kisaba kata ya Maisome halmashauri ya Buchosa Mkoa wa Mwanza amekufa baada ya kuliwa na mamba wakati akiogelea katika ziwa Victoria.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mwanamke aliwa na mamba

Rulensi Igayo (28) mkazi wa kijiji cha Kisaba kata ya Maisome halmashauri ya Buchosa Mkoa wa Mwanza amekufa baada ya kuliwa na mamba wakati akiogelea katika ziwa Victoria.

Mwalimu aahidi kumpa Bashe ukuu wa wilaya

Mgombea mwenza wa Chadema, Salum Mwalimu amesema atafikiria kumpa ukuu wa wilaya mgombea ubunge wa CCM Nzega mjini, Hussein Bashe ikiwa atakubali kumuachia jimbo hilo mgombea wa Chadema, Mary Atonga.  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mwalimu aahidi kumpa Bashe ukuu wa wilaya

Mgombea mwenza wa Chadema, Salum Mwalimu amesema atafikiria kumpa ukuu wa wilaya mgombea ubunge wa CCM Nzega mjini, Hussein Bashe ikiwa atakubali kumuachia jimbo hilo mgombea wa Chadema, Mary Atonga.  

Bongo Flava RnB heartthrob Ben Pol converts to Islam

Tanzanian singer  Ben Pol has converted to Islam. Making the announcement via his Instagram account, the 30-year-old Bongo Flava star revealed that he made the conversion on Friday, October 23, 2020.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Bongo Flava RnB heartthrob Ben Pol converts to Islam

Tanzanian singer  Ben Pol has converted to Islam. Making the announcement via his Instagram account, the 30-year-old Bongo Flava star revealed that he made the conversion on Friday, October 23, 2020.

How S. Africa farm murder sparked violence; then soul-searching ...

A white farmer’s murder in a rural town in early October touched off a series of racially charged events that has drawn comparisons with South Africa’s apartheid past, but the truth is far more complex.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

How S. Africa farm murder sparked violence; then soul-searching ...

A white farmer’s murder in a rural town in early October touched off a series of racially charged events that has drawn comparisons with South Africa’s apartheid past, but the truth is far more complex.

Trump suggests Egypt may 'blow up' Ethiopia dam

US President Donald Trump on Friday voiced anger at Ethiopia over its construction of a huge dam on the Nile River and appeared to suggest that Egypt may destroy it.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Trump suggests Egypt may 'blow up' Ethiopia dam

US President Donald Trump on Friday voiced anger at Ethiopia over its construction of a huge dam on the Nile River and appeared to suggest that Egypt may destroy it.

Tanzania: Why youth unemployment is still ‘the elephant in the room...’

Nothing is expected to elicit emotions and debate in the forthcoming elections more than youth employment - or lack thereof... And the agenda will be used as great political currency among the competing parties.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Tanzania: Why youth unemployment is still ‘the elephant in the room...’

Nothing is expected to elicit emotions and debate in the forthcoming elections more than youth employment - or lack thereof... And the agenda will be used as great political currency among the competing parties.

Magufuli optimistic on Arusha as Lowassa, Kinana campaign for CCM

Arusha, an opposition stronghold since the 1990s, was in green and yellow colours yesterday as hundreds of people turned up at the campaign rally to drum up support for the re-election of President John Magufuli for a second term.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Magufuli optimistic on Arusha as Lowassa, Kinana campaign for CCM

Arusha, an opposition stronghold since the 1990s, was in green and yellow colours yesterday as hundreds of people turned up at the campaign rally to drum up support for the re-election of President John Magufuli for a second term.

Police search Mdee’s house after reporting ‘assaulters’

Under circumstances that have not been made clear, police yesterday embarked upon searching the house of Chadema’s parliamentary candidate for Kawe, Halima Mdee (pictured), who was arrested shortly after reporting people she suspected were out to harm her
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Police search Mdee’s house after reporting ‘assaulters’

Under circumstances that have not been made clear, police yesterday embarked upon searching the house of Chadema’s parliamentary candidate for Kawe, Halima Mdee (pictured), who was arrested shortly after reporting people she suspected were out to harm her - and who had rented rooms close to her residence.

Mdee ahojiwa kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya kunasa sauti

Dar ea Salaam. Mgombea ubunge Kawe (Chadema), Halima Mdee jana Ijumaa Oktoba 23,2020 alikamatwa na jeshi la polisi kituo cha Mbweni na kuhojiwa kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya kunasia sauti kinyume na sheria za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mdee ahojiwa kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya kunasa sauti

Dar ea Salaam. Mgombea ubunge Kawe (Chadema), Halima Mdee jana Ijumaa Oktoba 23,2020 alikamatwa na jeshi la polisi kituo cha Mbweni na kuhojiwa kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya kunasia sauti kinyume na sheria za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Mwandishi amuomba radhi kinda wa Barcelona Ansu Fati

Katika ripoti yake ya mechi mwandishi alifananisha uchezaji wa Fati na harakati za kijana mweusi anayeuza bidhaa mitaani na kukurupushwa na polisi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mwandishi amuomba radhi kinda wa Barcelona Ansu Fati

Katika ripoti yake ya mechi mwandishi alifananisha uchezaji wa Fati na harakati za kijana mweusi anayeuza bidhaa mitaani na kukurupushwa na polisi.

Tanzania yapokea msaada wa Sh39 bilioni kuboresha sekta ya afya

Serikali ya Uswisi imetoa msaada wa Sh39.59 bilioni kwa Tanzania kwa ajili ya kuboresha na kuwezesha huduma za afya kwa wote na kupunguza ugonjwa malaria.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Tanzania yapokea msaada wa Sh39 bilioni kuboresha sekta ya afya

Serikali ya Uswisi imetoa msaada wa Sh39.59 bilioni kwa Tanzania kwa ajili ya kuboresha na kuwezesha huduma za afya kwa wote na kupunguza ugonjwa malaria.

VIDEO:Wajawazito wakumbushwa chanjo ya polio

Kesho Jumamosi Oktoba 24, 2020 ni siku ya polio duniani ambalo nchini Tanzania wajawazito wamekumbushwa kuhakikisha watoto wanaozaliwa wanapewa chanjo ya ugonjwa huo kama inavyoelekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO:Wajawazito wakumbushwa chanjo ya polio

Kesho Jumamosi Oktoba 24, 2020 ni siku ya polio duniani ambalo nchini Tanzania wajawazito wamekumbushwa kuhakikisha watoto wanaozaliwa wanapewa chanjo ya ugonjwa huo kama inavyoelekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Get more results via ClueGoal