Mmiliki wa shule ya Lucky Vicent ajitetea hana hatia
newsare.net
Mmiliki wa shule ya msingi Lucky Vicent, Innocent Moshi amesema hana hatia katika kesi inayomkabili kutokana na ajali iliyosababisha wanafunzi wake 32, walimu wawili na dereva kufariki katika ajali iliyotokea mwaka juzi.Mmiliki wa shule ya Lucky Vicent ajitetea hana hatia
Mmiliki wa shule ya msingi Lucky Vicent, Innocent Moshi amesema hana hatia katika kesi inayomkabili kutokana na ajali iliyosababisha wanafunzi wake 32, walimu wawili na dereva kufariki katika ajali iliyotokea mwaka juzi. Read more