Watoto wanne wa familia moja wafariki wakidaiwa kula mihogo yenye sumu
newsare.net
Watoto wanne wa familia moja katika kitongoji cha Germani kijiji cha Machochwe Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wamekufa wakidaiwa kula mihogo yenye sumu. Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara nchini Tanzania, Nurdin Babu amesema uchunguzi unaendelea.Watoto wanne wa familia moja wafariki wakidaiwa kula mihogo yenye sumu
Watoto wanne wa familia moja katika kitongoji cha Germani kijiji cha Machochwe Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wamekufa wakidaiwa kula mihogo yenye sumu. Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara nchini Tanzania, Nurdin Babu amesema uchunguzi unaendelea. Read more