DPP: Tutazishtaki benki zitakazokiuka sheria, masharti na taratibu za kazi
newsare.net
Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), Biswalo Mganga amesema ofisi yake haitasita kuzichukua hatua na kuzishtaki benki ambazo zitakiuka sheria na taratibu za ufanyaji kazi kwa kuwafungulia watu akaunti ambazo wanazitumia kutapeli.DPP: Tutazishtaki benki zitakazokiuka sheria, masharti na taratibu za kazi
Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), Biswalo Mganga amesema ofisi yake haitasita kuzichukua hatua na kuzishtaki benki ambazo zitakiuka sheria na taratibu za ufanyaji kazi kwa kuwafungulia watu akaunti ambazo wanazitumia kutapeli. Read more














