newsare.net
Wadau wa habari wameungana na kutoa tamko la kulaani kuchukuliwa na kupelekwa kusikojulikana kwa mwandishi wa kujitegemea wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Azory Gwanda.Mashirika yaungana kulaani kupotea mwandishi wa MCL
Wadau wa habari wameungana na kutoa tamko la kulaani kuchukuliwa na kupelekwa kusikojulikana kwa mwandishi wa kujitegemea wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Azory Gwanda. Read more