newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetenga siku tatu mfululizo kusikiliza ushahidi wa kesi ya kusambaza dawa bandia za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARVs), inayomkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida na wenzake watKesi ARVs bandia kusikilizwa siku tatu mfululizo Mahakama ya Kisutu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetenga siku tatu mfululizo kusikiliza ushahidi wa kesi ya kusambaza dawa bandia za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARVs), inayomkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida na wenzake watano. Read more