newsare.net
Serikali na viongozi wa makundi ya kiraia wamefikia makubaliano ya kusitisha vurugu ikiwa ni hatua kubwa iliyofikiwa katika kukomesha miezi miwili ya vurugu za kisiasa ambazo zimesababisha vifo vya watu 170 na kuitikisa serikali ya Rais Daniel Ortega.Serikali, wapinzani waafikiana kusitisha vurugu
Serikali na viongozi wa makundi ya kiraia wamefikia makubaliano ya kusitisha vurugu ikiwa ni hatua kubwa iliyofikiwa katika kukomesha miezi miwili ya vurugu za kisiasa ambazo zimesababisha vifo vya watu 170 na kuitikisa serikali ya Rais Daniel Ortega. Read more