newsare.net
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema ofisi yake itaendelea kutoa ruzuku kwa upande wa mwenyekiti wa CUF anayetambulika na ofisi hiyo, Profesa Ibrahim Lipumba akisema alipata maelekezo kutoka katika chama hicho.Msajili wa vyama asisitiza kutoa ruzuku kwa CUF ya Lipumba
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema ofisi yake itaendelea kutoa ruzuku kwa upande wa mwenyekiti wa CUF anayetambulika na ofisi hiyo, Profesa Ibrahim Lipumba akisema alipata maelekezo kutoka katika chama hicho. Read more