newsare.net
“Sasa njia nyeupe Segerea” ni kauli ya Anatropia Theonest, mbunge wa Viti Maalumu (Chadema). Huyu alipata nafasi hiyo baada ya mwaka 2015 kuukosa ubunge katika jimbo hilo ulioangukia CCM baada ya mvutano ndani ya Ukawa baina yake na Julius Mtatiro wakatiAnatropia: Mtatiro ameacha njia nyeupe Segerea
“Sasa njia nyeupe Segerea” ni kauli ya Anatropia Theonest, mbunge wa Viti Maalumu (Chadema). Huyu alipata nafasi hiyo baada ya mwaka 2015 kuukosa ubunge katika jimbo hilo ulioangukia CCM baada ya mvutano ndani ya Ukawa baina yake na Julius Mtatiro wakati huo akiwa CUF. Read more