newsare.net
Korea Kaskazini imefanyia majaribio silaha “mpya iliyoboreshwa kuwa ya kisasa” zaidi katika tukio lililosimamiwa na kiongozi wa nchi Kim Jong Un, vyombo vya habari vimeripoti Ijumaa katikati ya mazungumzo yanayolegalega kuhusu ukomeshwaji silaha za nyukliKim asimamia majaribio silaha mpya
Korea Kaskazini imefanyia majaribio silaha “mpya iliyoboreshwa kuwa ya kisasa” zaidi katika tukio lililosimamiwa na kiongozi wa nchi Kim Jong Un, vyombo vya habari vimeripoti Ijumaa katikati ya mazungumzo yanayolegalega kuhusu ukomeshwaji silaha za nyuklia na Marekani. Read more