newsare.net
Kama ulidhani vile vijembe kati ya mtangazaji maarufu Soudy Brown na msanii wa Bongo Fleva, Farid Kibanda ‘Fid Q’ dhidi ya tamasha la Wasafi vingewatengenezea chuki utakuwa unajidanganya, kwani wameweza kutoa pole zao baada ya msanii Diamond Platinumz kudPole za Soudy Brown, Fid Q kwa Diamond zawatoa ‘povu’ watu
Kama ulidhani vile vijembe kati ya mtangazaji maarufu Soudy Brown na msanii wa Bongo Fleva, Farid Kibanda ‘Fid Q’ dhidi ya tamasha la Wasafi vingewatengenezea chuki utakuwa unajidanganya, kwani wameweza kutoa pole zao baada ya msanii Diamond Platinumz kudondoka akiwa jukwaani. Read more