newsare.net
Kada wa CCM, ambaye mwaka 2015 alijitosa kuwania kupitishwa na chama hicho kuwania urais, Dk Muzzammil Kalokola ana mpango wa kuingia tena kwenye mbio hizo mwaka 2020, na hivyo kuwa mpinzani wa kwanza wa Rais John Magufuli.Kada CCM ajitosa urais 2020
Kada wa CCM, ambaye mwaka 2015 alijitosa kuwania kupitishwa na chama hicho kuwania urais, Dk Muzzammil Kalokola ana mpango wa kuingia tena kwenye mbio hizo mwaka 2020, na hivyo kuwa mpinzani wa kwanza wa Rais John Magufuli. Read more