newsare.net
Wakati Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) likipitisha azimio lenye vipengele 15 vinavyohusu Tanzania kwa kugusia masuala ya utawala wa sheria, haki za binadamu na kamatakamata ya wapinzani, Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Augustine Mahiga amesema anasubiri maelekezo yaBunge Umoja wa Ulaya latoa maazimio 15 nchini
Wakati Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) likipitisha azimio lenye vipengele 15 vinavyohusu Tanzania kwa kugusia masuala ya utawala wa sheria, haki za binadamu na kamatakamata ya wapinzani, Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Augustine Mahiga amesema anasubiri maelekezo ya Rais kuzungumzia suala hilo. Read more