newsare.net
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kesho Alhamisi Januari 24, 2019 anatarajiwa kuanika wazi ushahidi na mashahidi atakaowatumia katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake wannSerikali kuanika ushahidi kesi ya Kitilya, wenzake kesho
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kesho Alhamisi Januari 24, 2019 anatarajiwa kuanika wazi ushahidi na mashahidi atakaowatumia katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake wanne, wanaokabiliwa na kesi hizo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Read more