newsare.net
Wananchi katika Jiji la Mbeya jana walikumbana na adha ya usafiri kufuatia mgomo wa daladala uliosababishwa na madereva daladala kulalamikia bajaj kuendelea kubeba abiria kwenye barabara kuu, hivyo mgomo huo ni jitihada za kushinikiza Bajaj kuondolewa kwenyeMbeya waonja adha mgomo wa daladala
Wananchi katika Jiji la Mbeya jana walikumbana na adha ya usafiri kufuatia mgomo wa daladala uliosababishwa na madereva daladala kulalamikia bajaj kuendelea kubeba abiria kwenye barabara kuu, hivyo mgomo huo ni jitihada za kushinikiza Bajaj kuondolewa kwenye njia hizo. Read more