newsare.net
Saa moja asubuhi naanza safari ya kwenda kijiji cha Nkome kata ya Nkome katika halmashauri ya Geita. Takribani kilomita 60 kutoka Geita mjini, lengo ni kufika Shule ya msingi Mwaloni, shule inayodaiwa kuwa na utoro wa wanafunzi kwa asilimia 20.Simulizi ya maisha ya watoto waliobebeshwa mzigo wa malezi
Saa moja asubuhi naanza safari ya kwenda kijiji cha Nkome kata ya Nkome katika halmashauri ya Geita. Takribani kilomita 60 kutoka Geita mjini, lengo ni kufika Shule ya msingi Mwaloni, shule inayodaiwa kuwa na utoro wa wanafunzi kwa asilimia 20. Read more