newsare.net
Serikali ya Tanzania leo imemkabidhi Mchekeshaji, Peter Molel maarufu kwa jina la Pierre Konki Liquid tiketi ya ndege ya VIP kwenda na kurudi nchini Misri kwa ajili ya kuhamasisha ushangiliaji kwa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kwenye michuano ya Mataifa yaPierre akabidhiwa tiketi ya VIP kwenda AFCON
Serikali ya Tanzania leo imemkabidhi Mchekeshaji, Peter Molel maarufu kwa jina la Pierre Konki Liquid tiketi ya ndege ya VIP kwenda na kurudi nchini Misri kwa ajili ya kuhamasisha ushangiliaji kwa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Read more