newsare.net
Hatima ya kuendelea au kukoma kwa safari ya aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kupigania kurudishiwa ubunge wake alioupoteza, kwa njia za kisheria mahakamani sasa itajulikana keshokutwa Jumatatu Agosti 26,2019 wakati Mahakama KuHatima maombi ya Tundu Lissu kutetea ubunge wake kuamuliwa Jumatatu
Hatima ya kuendelea au kukoma kwa safari ya aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kupigania kurudishiwa ubunge wake alioupoteza, kwa njia za kisheria mahakamani sasa itajulikana keshokutwa Jumatatu Agosti 26,2019 wakati Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali la Serikali. Read more