newsare.net
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma, imeahirisha kesi ya Diwani wa Mwanga Kaskazini (ACT-Wazalendo), Manispaa ya Kigoma Ujiji, Clayton Chipando, maarufu Baba Levo, hadi Oktoba 29, 2019 baada ya Jaji mfawidhi wa mahakama hiyo Llvin Mgeta anayesikilizaDiwani ACT- Wazalendo akata rufaa, kesi kusikilizwa Oktoba 29
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma, imeahirisha kesi ya Diwani wa Mwanga Kaskazini (ACT-Wazalendo), Manispaa ya Kigoma Ujiji, Clayton Chipando, maarufu Baba Levo, hadi Oktoba 29, 2019 baada ya Jaji mfawidhi wa mahakama hiyo Llvin Mgeta anayesikiliza kesi hiyo kupata dharura ya kikazi. Read more