newsare.net
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amepiga marufuku waongoza utalii wanaofanya shughuli zao mkoani Arusha kusambaza picha za video zinazoonyesha miundombinu iliyoharibika katika mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.RC Gambo apiga marufuku video za miundombinu iliyoharibika kusambazwa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amepiga marufuku waongoza utalii wanaofanya shughuli zao mkoani Arusha kusambaza picha za video zinazoonyesha miundombinu iliyoharibika katika mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro. Read more