newsare.net
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ametangaza nchi hiyo kuwekwa chini ya uangalizi maalumu kwa wiki tatu, ambapo shughuli zote zitasimama kasoro zile za muhimu kwa jamii.Afrika Kusini yatangaza kusimamisha shughuli zote nchi nzima kwa wiki tatu kutokana na corona
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ametangaza nchi hiyo kuwekwa chini ya uangalizi maalumu kwa wiki tatu, ambapo shughuli zote zitasimama kasoro zile za muhimu kwa jamii. Read more











