newsare.net
Mkuu wa Wilaya (DC) ya Kilolo Mkoa wa Iringa nchini Tanzania, Asia Abdallah amepiga marufuku mtindo wa kunywa pombe kwa kupokezana ndani ya chombo kimoja ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (Codiv-19).DC Kilolo apiga marufuku unywaji pombe kijamaa
Mkuu wa Wilaya (DC) ya Kilolo Mkoa wa Iringa nchini Tanzania, Asia Abdallah amepiga marufuku mtindo wa kunywa pombe kwa kupokezana ndani ya chombo kimoja ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (Codiv-19). Read more