newsare.net
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa mwingine aliyekuwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini amepona na kufikisha idadi ya wagonjwa watatu waliopona.Mgonjwa mwingine apona corona Tanzania
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa mwingine aliyekuwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini amepona na kufikisha idadi ya wagonjwa watatu waliopona. Read more











