newsare.net
Mbunge wa Ulanga Nchini Tanzania (CCM) Godluck Mlinga amemweleza Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama kuwa wazee wa Ulanga wanaodai mafao yao kwa miaka miwili mfululizo bila mafanikio watamlaani.Mbunge wa CCM amwambia waziri atalaaniwa
Mbunge wa Ulanga Nchini Tanzania (CCM) Godluck Mlinga amemweleza Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama kuwa wazee wa Ulanga wanaodai mafao yao kwa miaka miwili mfululizo bila mafanikio watamlaani. Read more











