newsare.net
KUMEKUWA na taarifa nyingi mtaani zikimuhusisha kiungo wa Simba, Said Ndemla na Yanga hasa kutokana na nafasi yake kucheza ndani ya kikosi cha kwanza kuonekana ni finyu huku mkataba wake pia ukielekea ukingoni.Ishu ya Yanga na Ndemla iko hivi
KUMEKUWA na taarifa nyingi mtaani zikimuhusisha kiungo wa Simba, Said Ndemla na Yanga hasa kutokana na nafasi yake kucheza ndani ya kikosi cha kwanza kuonekana ni finyu huku mkataba wake pia ukielekea ukingoni. Read more