newsare.net
Ilikuwa kama nadhiri kwa Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman Khalifa ambaye kwenye mikutano yake mingi alinukuliwa akisema ‘atafia CUF’. Na ndivyo ilivyokuwa kifo kimemkuta ndani ya chama hicho licha ya misukosuko mingi zikiwamo kesi mahakamani.Jinsi Katibu Mkuu CUF alivyotabiri kifo chake
Ilikuwa kama nadhiri kwa Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman Khalifa ambaye kwenye mikutano yake mingi alinukuliwa akisema ‘atafia CUF’. Na ndivyo ilivyokuwa kifo kimemkuta ndani ya chama hicho licha ya misukosuko mingi zikiwamo kesi mahakamani. Read more