newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa PAP, Harbinder Seth na mwanasheria wa IPTL, Joseph Makandege wapelekwe katika mahakama hiyo kwa kuwa gereza la Ukonga halina huduma ya kuendesha kesi kwa njia ya mtandao.Mahakama yaamuru Seth na Makandege wapelekwe Kisutu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa PAP, Harbinder Seth na mwanasheria wa IPTL, Joseph Makandege wapelekwe katika mahakama hiyo kwa kuwa gereza la Ukonga halina huduma ya kuendesha kesi kwa njia ya mtandao. Read more











