newsare.net
Sakata la kuondolewa kwa mameya wawili wa halmashauri zilizokuwa zikiongozwa na Chadema limetinga bungeni ambapo Mbunge wa Iringa Mjini, (Chadema), Peter Msigwa amesema hata barua ya kukata rufaa iliyoandikwa kwa Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo haijajibiwa.Sakata la mameya wa Chadema kuondolewa madarakani latinga bungeni
Sakata la kuondolewa kwa mameya wawili wa halmashauri zilizokuwa zikiongozwa na Chadema limetinga bungeni ambapo Mbunge wa Iringa Mjini, (Chadema), Peter Msigwa amesema hata barua ya kukata rufaa iliyoandikwa kwa Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo haijajibiwa. Read more











