newsare.net
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya elimu ya juu litaendelea kubaki hadi hapo Serikali itakapotoa tamko jingine.Vyuo, shule nchini Tanzania kuendelea kufungwa kwa sababu ya corona
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya elimu ya juu litaendelea kubaki hadi hapo Serikali itakapotoa tamko jingine. Read more











