newsare.net
Mwili wa mtu aliyefariki dunia na kuzikwa miaka 20 iliyopita umefukuliwa na mabaki ya mifupa yake kwenda kuhifadhiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya wilaya ya Butiama mkoani Mara baada ya kuibuka ugomvi wa kifamilia.Ugomvi wasababisha mwili uliozikwa miaka 20 kufukuliwa
Mwili wa mtu aliyefariki dunia na kuzikwa miaka 20 iliyopita umefukuliwa na mabaki ya mifupa yake kwenda kuhifadhiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya wilaya ya Butiama mkoani Mara baada ya kuibuka ugomvi wa kifamilia. Read more











